Hotuba ya Msemaji Rasmi wa Hizb ut Tahrir katika Wilaya…
Jumamosi, 28 Rabi' I 1447 - 20 Septemba 2025
Wanaofuatilia suala la Sudan na mapambano makali ya kimataifa juu ya ardhi yake wanajua vyema kwamba vita hivi vinaendeshwa na Marekani ili kung'oa ushawishi wa Kiingereza na kuichana Sudan kwa kutenganisha Darfur, na kwamba hatua zote za kisiasa zinazofanywa na Amerika au vyombo vyake nchini Sudan zinalenga kuondoa juhudi zozote ambazo zingewarudisha watu wa Uingereza kwenye mandhari.
Al-Waqiyah TV: Khilafah Pekee Ndio Itakayoiletea Sudan Izza!
Sudan kwa sasa iko katikati ya vita vya kipumbavu ambavyo vimesababisha vifo vya makumi ya…
Ummah Unahitaji Khilafah Kulinda Matukufu Yake Sio Mikataba ya Ulinzi…
Pakistan na Saudi Arabia zimeingia katika makubaliano ya kihistoria ya ulinzi wa pande zote, ambapo…
Kwa Uislamu, Watu wa Sudan Wanayeyushwa ndani ya Chungu Kimoja,…
Idadi ya watu wa Sudan inakadiriwa kufikia milioni 49.4, kulingana na Shirika la Umoja wa…
Khilafah pekee ndio inayojali Maslahi ya Watu na ndio Mlinzi…
Hali mbaya ambayo Sudan imefikia kufuatia vita vya kikatili vilivyoanza miaka miwili iliyopita kati ya…
Operesheni ya Shujaa Aliyeuawa Shahidi Abdul Muttalib Al-Qaisi Inathibitisha Azma…
Jana, 10 Septemba 2025, kamanda wa Kamandi Kuu ya jeshi la umbile la Kiyahudi alitangaza…